Sunday, 21 September 2014

SAMATTA NA ULIMWENGU KATIKA MECHI NZITO TP MAZEMBE UGENINI LEO


KLABU ya Entente Setif ya Algeria insignia kwenye mechi ya kiasi dhidi ya TP Mazembe katika Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika leo Uwanja wa Stade du 8 Mai 1945 usiku wa leo.