Thursday, 16 October 2014

Kibarua cha Kocha wa Nigeria, Stephen Keshi na wasaidizi wake chaota mbawa

412864_heroa
Kocha wa timu ya taifa ya Nigeria, Stephen Keshi amefukuzwa kazi na shirikisho la soka nchini humo, NFF mapema Alhamis hii licha ya timu yake kupata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Sudan jana.....

Kama wewe Unapenda Kujiongeza Kibihashara hii Inakuhusu:Makampuni ya simu Tanzania kuanza kuuza hisa kwa wananchi mwakani

home+sub+2+pix
Tanzania inatarajia kuanza kuona makampuni ya simu yakiweka hisa zake kwenye soko la hisa kupitia sheria ya lazima inayolenga kuwasaidia wananchi wake kumiliki sehemu ya moja viwanda vinavyokua kwa kasi zaidi barani Afrika.....

Je wewe ni Msanii? au unafuatilia wasanii?:Tazama Kinachowaangusha Wasanii Wengi Hapa nchini na Kwingineko..


yawezekana wewe ni msanii na unaona mambo yako hayaendi sawa.....haujadumu kwenye game kwa mda mrefu...basi chukua hii ikusaidie....

Tazama Picha Mbalimbali Za Kikao cha Kamati Kuu ua CCM Mjini Dodoma


 Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Kamati Kuu  ya Halmashauri Kuu ya Taifa CCM kwenye ukumbi wa NEC,CCM Makao Makuu Dodoma.....

Angali Picha za Meli kubwa Kuliko Zote dunian ilivyotia nanga Uingereza


Selfie moment: Onlookers posed for pictures in front of the vessel as it docked
Longer than The Shard and wider than a Boeing 747 wingspan:....

Hizi ndizo Faida za Kuwekeza Mda Katika kipaji Chako: Orijino Komed Wabwaga Milioni 840 Kununua nyumba 7 za NSSF


Kundi la vichekesho la orijino Komedi limenunua na kuwakabidhi nyumba 7 wasanii wa kundi hilo zwnye thamani ya shilingi milioni 840 ambapo kila nyumba moja imenunuliwa kwa shilingi milioni 120....

Tazama picha za Gari Lililobeba Ng'ombe Lapata Ajali Ubungo Dar

Mfanyabiashara wa mifugo hiyo, Abdalah Juma, akionyesha eneo la bega aliloumia katika ajali.....

Tuesday, 14 October 2014

Monday, 13 October 2014

Kama wewe ni Mfanyabihashara wa Kimataifa au Unataka kuwa MfanyaBihasha wa Kimataifa....Na Kikwazo ni Visa/Passport Chua hii ikusaidie

Zifuatazo ni nchi ambazo raia wa Tanzania anaweza kwenda bila kuwa na visa.
                            

Watu 6 wafariki Dunia na 21 Waokolewa katika ajali ya Mtumbwi Ziwa Tanganyika..

WATU sita wamekufa 27 wameokolewa na wengine 11 kulazwa katika hospitali ya rufaa maweni iliyopo Manispaa ya Kigoma Ujiji mkoani Kigoma baada ya boti walilokuwa wakisafiria kuzama katika ziwa Tanganyika mkoani humo....

Hiki Ndicho Kilichomkuta Wakili Damas Ndumbaro....Baada ya Kuwa Maharufu kwa mda Mfupi tuu Katika Soka

              WAKILI DAMAS NDUMBARO ‘ ATUPWA JELA YA SOKA’ MIAKA SABA

ndumba

Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la soka nchi TFF, imemfungia wakili Damas Ndumbaro kujihusisha na mambo ya soka kwa muda wa miaka saba na faini ya kiasi cha pesa....

Kama wewe una Housegirl Akikisha unamchunguza Kila Mara na hakikisha unajua Alikotoka na Historia ya Nyumbani kwao

Hii Ndio Filamu Mpya Ambayo mama KANUMBA na LULU wamo ndani...."MAPENZI YA MUNGU"

MAMA KANUMBA NA LULU NDANI YA FILAMU MPYA IITWAYO "MAPENZI YA MUNGU"

Hivi karibu Msanii Mahiri na Nguli katika tasnia ya filamu nchini Elizabeth Michael almaarufu kama LULU ataibuka na filamu yake Mpya na yenye kusisimua iitwayo.....

Waziri Nyalandu Avunja Ukimya na Kuzungumzia Kuhusu Tetesi zilizotolewa na Vyombo vya Habari Vikidai kwamba Alikuwa Akivinjari na Msanii wa Bongo Movie....

Baada ya vyombo vya habari kuripoti kuhusu Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu(Pichani juu) na msanii wa filamu Aunty Ezekiel kuvinjari nchini Marekani hatimaye waziri huyo....

Zimwi la Ajali Bado Lazidi Kuiandama Tanzania: ni Majonzi Mukubwa...


 Wafanyakazi wa Benki moja hapa nchini wamekumbwa na simanzi iliyosababishwa na kifo cha mwajiriwa mwenzao kilichotokana na ajali iliyotokea jana jioni huko....

Tazama Jinsi Mwanafunzi Alivyouwawa Kikatili Maeneo ya Mbezi Temboni

MWANAFUNZI AUWAWA BAADA YA KUBWAKWA,ACHINJWA


Mwanafunzi wa shule ya msingi jijini Dar es Salaam mwenye umri wa miaka saba, ameuawa kikatili baada ya kubakwa, kuchinjwa na kunyofolewa sehemu zake....