Thursday, 2 October 2014

Maswali ya Msingi Ambayo Kila Mfanyakazi Anapaswa Kujiuliza

Maswali 8 ambayo kila mfanyakazi anapaswa kujiuliza
Maswali 8 ambayo kila mfanyakazi anapaswa kujiulizaBy Awali Mwaisanila on October 2, 2014@awaliambonisye
black-career-woman-400x295
black-career-woman-400x295
Tunapopata kazi mara nyingi tunasahau kufanya majumuisho ya namna ambavyo maisha yetu ya kazi yanaendelea......

Ebwana Kama una Tabia za Kuvaa Ngua za Jeshi au Zinazofanana na Jeshi Hii Inakuhusu..

Hii Imemtokea staa mwingine wa mziki wa Bongo Flavour.

nguo za jeshiKitu kama hiki kiliwahi kumtokea mwanahiphop Young Killer miezi michache iliyopita ambapo alivuliwa nguo ya jeshi aliyokua ameivaa…. wiki kadhaa baadae ikatangazwa tena kwenye vyombo vya habari kwamba ni marufuku kwa watu wasio Wanajeshi kuvaa nguo hizo....

Wednesday, 1 October 2014

Welbeck Ajeuka moto wa Kuotea Mbali: Apiga Hat Trick




Walisema ni fowadi mzigo? Leo watafunga midomo baada ya mshambuliaji Danny Welbeck kufunga mabao matatu ‘hat trick’ katika ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Galatasaray ya Uturuki.

Tazama Msafara wa katibu Mkuu na Katibu Mwenezi wa CCM Uliohusisha Usafiri wa Baiskeli Kama ilivyo Desturi kwa Wakazi Wengi wa Tanga

Kinana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye wakiongoza msafara katika safu ya milima ya Usambara kwenda Jimbo la Mkinga, Tanga.

Je, Watafuta Mwenza wa Kufanya naye Bihashara...? Basi Kama wewe ni Mfanyabihasha au Unataka Kuanzisha Bihashara hii inakuhu

Mambo ya kufanya unapotafuta mfanyabiashara mwenza By Awali Mwaisanila on October 1, 2014@awaliambonisye  
SA-image-business-woman-2
SA-image-business-woman-2
Kama wewe ni mjasiriamali inawezekana ukawa unatafuta mtu wa kufanya naye biashara au kufungua kampuni pamoja. Inawezekana unatafuta watu wenye vipaji na uzoefu ili ufanye nao biashara pamoja ili kukuza soko lako......

Kurasa za Mwanzo na Mwisho Magazetini leo October 01, 2014

Karibu Ushuhudie Kilichojiri Magazetini leo

.
Kama ilivyo ada kwa wewe mdau wa magazeti ni halali kabisa kwetu sisi kuakikisha kwamba unapa habari mbalimbali zilizochukua nafasi kubwa katika magazeti mengi ya siku ya leo.....chukua time yako kuangalia nini kimejiri japo kwa ufupi tuu katika kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti yaleo.......

Tuesday, 30 September 2014

Bundi Bado Azidi Kulia Viwanja vya Old Trafford: Herrera Nje Wiki Kadhaa....

                          KIUNGO Ander Herrera anatarajiwa kuwa nje kwa wiki kadhaa baada ya                                    kuchanika mbavu akiichezea Manchester United dhidi ya West Ham Jumamosi.
  Herrera akiwa ameshika ubavu wake wakati akiondoka uwanjani Old Trafford baada ya kuumia

                   Kiungo huyo wa kimataifa wa Hispania alimpisha Antonio Valencia baada                                      ya kuumia katika.....

Hatimaye TP Mazembe Yasukumwa nje katika Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika

NDOTO za TP Mazembe kwenda Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, hii leo zimeota mbawa baada ya kutolewa na ES Setif ya Algeria kwa mabao ya ugenini kufuatia sare ya jumla ya 4-4.
Poleni vijana, haikuwa bahati yenu; Watanzania wanaochezea TP Mazembe, Mbwana Samatta kushoto na Thomas Ulimwengu kulia

Je,ni Jinsi Gani unaweza Kufanikiwa Katika Mambo Mbalimbali?

Mafanikio ni muhimu lakini unahitaji kujitambua namna unavyotaka kufanikiwa By Awali Mwaisanila on September 30, 2014@awaliambonisye  beautiful customer service operator woman with headsetWatu wengi waliofanikiwa duniani wameweza kufanya na kuendelea kuishi kwa kuwa na tabia nzuri. Wanahakikisha kila wanachokifanya kila siku kina makusudi ya kufikia kule wanakotaka wawe
beautiful customer service operator woman with headset

Kilichowakuta CHADEMA walioandamana Mwanza Sept.25

 Polisi wamekamata viongozi sita na wafuasi kadhaa wa (CHADEMA) waliokuwa wakijiandaa kuandamana baada ya kukaidi amri ya polisi kusitisha maandamano.....

Habari Zilizopewa Nafasi Kubwa Katika Magazetini leo September 30 2014

                    Kurasa za mbele za magazeti ya leo September 30 2014

.

Kama ilivyo ada lengo letu ni kuhakikisha wewe mdau wa magazeti haupitwi na jambo lolote linaloendele ...tumia time yako kuangali baadhi ya habari zilizopewa kipao mbele na magazeti mbalimbali ya leo...

Monday, 29 September 2014

Kavumbangu ligi Yakumkubali Msimu huu, Afunga Mabao SABA Mechi nane

MSHAMBULIAJI Didier Kavumbangu amedhihirisha kweli ni mkali wa mabao, baada ya kuifungia klabu yake mpya Azam FC mabao saba ndani ya mechi nane.



Kati ya mabao hayo, mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Burundi, manne amefunga katika mechi mbili tu za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kuashiria kwamba yuko tayari kutwaa kiatu cha dhahabu msimu huu.
“Nimefurahi kufanya vizuri katika mechi hizi mbili, na nitaongeza bidii nifanye vizuri zaidi,

Man U Yasaka Mechi za Kirafiki za Nguvu Kuziba Pengo la Kukosa Michuano ya Ulaya


KLABU ya Manchester United intake kucheza mechi za kirafiki za nguvu kuziba pengo la kukosa michuano ya Ulaya msimu huu na baada ya kutolewa katika Kombe la Ligi, maarufu kama Capital One Cup.


Mabingwa wa rekodi Ligi Kuu England, mara 20 pato lao limepungua kwa asilimia 10 msimu wa 2014-2015 baada ya kushindwa kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya chini ya kocha David Moyes.
Msoto huo umeifanya United ibaki na mechi moja tu ya katikati ya wiki kabla ya kumaliza mwaka 2014, na mechi tatu jumla katika miezi mitatu ya mwanzoni mwaka 2015.

Tazama Kurasa za Mbele za Magazeti ya leo Sep.29, 2014

.
Add caption
Kama ilivyo

 ada kwa wewe

 mdau wa magazeti

 ni haki yako kabisa
 kujua nini kinaendelea

 katika habari mbalimbali 

zilizojitokeza katika magazeti

 mbali mbali ya siku ya leo.


Chukua time yako kuangalia

 kurasa za mbele za magazeti 

ya leo.....